Tuesday, June 12, 2012

HISTORIA YA FREEMASONS



HISTORIA YA KALE HADI FREEMASONS
Mara nyingi nimekuwa nikijiuliza ni kwanini majina ya miungu wa kigiriki na wale wa Kirumi, ambao ustaarabu wao pia umechanulia mashariki ya kati ilikuwa ikiyatumia majina ya sayari kama majina ya miungu yao?
Walizijua vipi sayari hizo na majina yake enzi hizo za maelfu ya miaka kabla ya Masihi?. Nia yangu si kupatiwa majibu lakini kilicho kikubwa ni kwamba millennia nyingi wakati wa mpango  mkubwa wa kuichukua dunia ili iwe ya kabila fulani moja tu; 
Taarifa nyingi kuhusu historia ya kweli ya dunia zimekuwa zikifichwa na kupewa watu maalum kama ambavyo tutakavyoona huko mbele.
Kutufundisha kwamba binadamu wa kwanza alikuwa NYANI aliyeishi mamilioni ya miaka mingi huko nyuma na kwamba nyani huyo alianza kubadilika taratibu hadi akapatikana tunayemwita BINADAMU leo; hiyo yote ni sehemu ya kututupilia mbali na ukweli wa mambo.
Kwa maelfu ya miaka dunia imekuwa ikipitia mabadiliko na misukosuko kadhaa lakini hakuna hata moja lililopata kuelezewa na wale wanaoitwa WANAHISTORIA kwasababu si kazi yao.
Kazi yao ni kufundisha kile tu walichoambiwa na kuelekezwa wakifundishe. Masalio mengi ya kihistoria, yaliyopatikana miaka ya hivi karibuni ngesaidia kuibadili historia inayotumika hivi sasa. Kinachoshangaza yamewekwa kama mapambo kwenye majumba ya makumbusho.
Mfumo mzima wa elimu umeshikiliwa na KABILA HILO LA WAVAMIZI wanafahamu kipi kifundishwe kwenye Kemia , Baiolojia, Fizikia, Hisabati, Historia na fani nyingine mbalimbali.
Kwa miaka mingi sasa mfumo wa elimu umekuwa wa kukitukuza kile kilochofanywa na wasomi waliotangulia, wala hautoi nfasi kwa wasomi wa sasa nao kuwa wabunifu na hivyo kuleta maarifa mapya.
KWANINI?
Mtu kunakili kilichoandikwa kitabuni anaonekana kuwa na akili sana na mtu anayeelewa vyema somo.; Yule nayejaribu kuelezea kwa maneno yake ili kuonyesha ubunifu wake wa namna alivyolielewa somo husika nje ya mstari na nukta za vitabuni anaonekana hajui kitu kwa hiyo amekosea.
Huo ndio mfumo uliotengeneza tangu enzi na enzi ili kufanya binadamu awe mjinga maisha yake yote ili hali mkononi anacho cheti kinachomtambulisha kuwa ana shahada moja, mbili, tatu hata nne. Lakini kichwani mwake ni kama maktaba iliyojaa vitabu vilivyoandikwa na wengine.
Vitabu vyenye maneno na mawazo ya watu ambayo kwa miaka yote waliyokuwa shuleni walilazimishwa kuvikariri kama vilivyo na hakuna jipya waliloondoka nalao kwa kifupi hakuna lake hata moja! Je huyu kweli ni msomi au kabati la vitabu?.
MBINU kubwa waliyoitumia ana ambayo bado inatiliwa msisitizo kwa njia mbalimbali ni kuwafanya watu wa makabila mengine waendelee kuwa WAJINGA na WAPUMBAVU wa mwisho kabisa. Elimu na yale maarifa ya ukweli, wakayachukua wao.
KWA LEO NIISHIE HAPA

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Wednesday, June 6, 2012

FREEMASONS AND TANZANIA GOVERNMENT

001~7.jpg 10 views
015~2.jpg 21 viewsGrant of the Dignity of an Honorary Knight Commander of the Civil Division of the Order of the British Empire signed by Queen Elizabeth II and Prince Philip, the Duke of Edinburgh – 2003.
004~8.jpg 17 viewsAndy with Presidents Nyerere and Mkapa at the reopening of Manyoni / Singida railway line 1997.
003~13.jpg 340 viewsAndy at a reception hosted by Provincial Grand Master of Nigeria, Irish Constitution, Lagos 1990.
019~0.JPG 37 viewsAndy Chande with President Julius Nyerere on his visit to Chande Industries Ltd, 1965.
021~1.jpg 49 viewsAndy with Tanzania’s Minister for Foreign Affairs Benjamin William Mkapa (Later the Republic's President) -1969.
042.JPG 46 viewsAndy Chande with Minister for Health, Republic of Seychelles, 2002.
054.jpg 50 viewsAndy Chande with President Amani Abeid Karume of Zanzibar. 2007.

Last additions
045_211x300.jpg 38 viewsGG2 AwardsJul 17, 2011
040_207x451.jpg 32 viewsNRI Dinner December 2008.Jul 17, 2011
039_192x300.jpg 40 viewsLifetime Achievement Award presented by Sarah Brown Wife of U.K. Prime Minister September 2008, London.Jul 17, 2011
051.jpg 86 viewsAndy Chande with The Hon. Frederick Sumaye Prime Minister of Tanzania 2005.May 28, 2011
049.jpg 70 viewsAndy Chande with Daniel Hays Speaker of Senate of Canada – 2005.May 28, 2011
045.jpg 80 viewsAndy and Jayli Chande with Minister for Natural Resources and Tourism Mr Tungaraza – 2003.May 28, 2011
044.jpg 69 viewsAndy Chande President Ali Hassan Mwinyi and British High Commissioner Richard Clarke 2003.May 28, 2011
035.jpg 82 viewsAndy Chande with second President of Tanzania Ali Hassan Mwinyi 1998.May 28, 2011

010~2.jpg 21 viewsThe Guardian: 10th March 2010 - Nigeria's High Commissioner to Tanzania, Ishaya Samaila Majanbu, reads Queen Elizabeth 11's 61st Commonwealth Day anniversary message at a function in Dar es Salaam on Monday night. Others are Royal Commonwealth Society Honorary representative Andy Chande (L) and Mwalimu Nyerere Foundation Chairman Salim Ahmed Salim ( Photo: Selemani Mpochi).
003~4.jpg 31 viewsBangalore Kidney Foundation, Chande Kidney Centre at Padmanabhanagar, Bangalore, India.1990.
007~4.jpg 44 viewsPresident J M Kikwete presenting IMTU charter and certificate, to the Chancellor of IMTU, Sir Andy Chande,KBE, to the right of the President is the then Minister for Education and Vocational Training Professor Jumanne Maghembe – 2010.
008_225x300.jpg 12 viewsABI USA - World Lifetime Achievement – 1999.
018.jpg 18 viewsAndy making Presentation to the Amir of Kano accompanied by District Governor Abdulrahman O Funsho 1996.
005~7.jpg 9 views Andy and Jayli Chande with National President of Round Table Finland and his wife Helsinki 1969.
001~13.jpg 12 viewsAndy, Chairman Tanzania Railways Corporation with his colleagues joining Tourists at the First trip by a 1953 British built Steam Locomotive named Suk ( after a tribe in Kenya). The Excursion Train Service began in 1996 took tourists on seven hours round trip for Dar es Salaam-Soga-Dar es Salaam.
014~4.jpg 41 viewsAndy Chande with President Nyerere at a Chambers of Commerce dinner. Andy’s college Alan Nihill and James Ritchie are on his left, 1964.


045_211x300.jpg 38 viewsGG2 AwardsJul 17, 2011
040_207x451.jpg 32 viewsNRI Dinner December 2008.Jul 17, 2011
039_192x300.jpg 40 viewsLifetime Achievement Award presented by Sarah Brown Wife of U.K. Prime Minister September 2008, London.Jul 17, 2011
051.jpg 86 viewsAndy Chande with The Hon. Frederick Sumaye Prime Minister of Tanzania 2005.May 28, 2011
049.jpg 70 viewsAndy Chande with Daniel Hays Speaker of Senate of Canada – 2005.May 28, 2011
045.jpg 80 viewsAndy and Jayli Chande with Minister for Natural Resources and Tourism Mr Tungaraza – 2003.May 28, 2011
044.jpg 69 viewsAndy Chande President Ali Hassan Mwinyi and British High Commissioner Richard Clarke 2003.May 28, 2011
035.jpg 82 viewsAndy Chande with second President of Tanzania Ali Hassan Mwinyi 1998.May 28, 2011